Recent content by mkwapuaji

  1. mkwapuaji

    Tanzania ya wafanyakazi, wafanyabiashara na wakulima

    Kila uchwao ni kilio cha maisha magumu ambacho hutoka kwa mnyonge kwenda kwa mtawala. Dhamana ya kilio hiki anayo mtawala ambaye ana matakwa ya kutatua ama kutokuitatua changamoto husika kutokana na uwepo wa rasilimali za kutosha au maamuzi binafsi. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  2. mkwapuaji

    Wabunge wa bunge la Tanzania wanajua wajibu wao?

    WABUNGE WA TANZANIA WANAWAJIBIKA KWA NANI? Juzi kulikuwa ni kikao cha bunge kilichobeba azimio la kumpongeza Rais Samia. Sina shaka na pongezi za rais lakini shaka ni aina ya ajenda na walioamua kuibeba ajenda. Matatizo ya kujadili kama WABUNGE wanaowakilisha wananchi zaidi ya milioni 60 ni...
  3. mkwapuaji

    Kwanini wabunge wanapaswa kuwa madiwani...

    Mfumo wa kupata mwakilishi wa kibunge Tanzania ni mfumo huru lakini wenye kumnyima mwananchi fursa halisi ya uwakilishi. Hii inajidhihirisha na wingi wa wabunge ambao hugombea ubunge pasi hata a kuifahamu historia ya jimbo lao la uwakilishi Leo nimeona ipo haja ya kubadili mfumo wa kuwapata...
  4. mkwapuaji

    Siasa na uhalisia wake kwa mwanasiasa

    SIASA NA UHALISIA WAKE KWA MWANASIASA Habari za jioni watanzania wenzangu na hongereni kwa mijadala myema a kisisa na kiafya hasa wakati huu wa COVID19 Siasa maana yake ni mfumo huru wa kumpata mtawaliwa au mtawaliwa kwa njia ya makubaliano au ya kutokukubaliana na huusisha watu wa jamii moja...
  5. mkwapuaji

    Kiswahili ni Ishara ya kujikomboa kifikra Watanzania

    Kwa mfumo huu wa elimu usiowafanya watu kufikiri ni vigumu sana kumwelewesha mru umuhimu wa kiswahili akuelewe. Vijana wanashindana kukariri masomo na kuyatapika kwenye mitihani na mbobezi basi ndio huwa kinara. Tunasahau kuwa elimu inatakiwa ikukomboe kifikra, kiufanisi na hata kimahusiano...
  6. mkwapuaji

    Kiswahili ni Ishara ya kujikomboa kifikra Watanzania

    Kwa mfumo huu wa elimu usiowafanya watu kufikiri ni vigumu sana kumwelewesha mru umuhimu wa kiswahili akuelewe. Vijana wanashindana kukariri masomo na kuyatapika kwenye mitihani na mbobezi basi ndio huwa kinara. Tunasahau kuwa elimu inatakiwa ikukomboe kifikra, kiufanisi na hata kimahusiano...
  7. mkwapuaji

    Siasa za Tanzania na kufuru ya ufananisho wa mbinguni

    Wana jamvi habarini za muda huu... Naomba niweke dukuduku langu kwa siasa za Tanzania za sasa ambazo zimeanza kunifanya nijitathmini kiimani. Kama wengi mnafuatilia mtaona kuna kauli nyingi za kumnenea kiongozi wetu mambo asiyoyanena ama yatakayomfanya aikufuru imani yake. Hii ni hasa baada ya...
  8. mkwapuaji

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    Yaani mlipokuw naye hukuweza kuyatanabaisha mapungufu hayo ya maradhi mpaka alipoondoka kweli?!!!..........
  9. mkwapuaji

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    Japo nikiri nimeshindwa kumwelewa aliposema haya alimaanisha nini........ #NUKUU "Hatuwezi kugombana na kuchukiana kwasababu ya Kuhama vyama na wala tusikubali kubaguliwa hivyo, sisi ni Watanzania Kwanza.Lakini binafsi bado naamini Mabadiliko ya kweli yatatoka nje ya CCM", - Edward Lowassa...
  10. mkwapuaji

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    Mtu mzima kuonekana unayumba kiimani na msimamo ni changamoto ambayo inaweza kuzorotesha heshima yako kwa jamii. Mh. Lowasa, Edward N. alikuwa mwachama wa CCM tangu enzi zake za uchipukizi mpaka kufikia kupata nafasi mbalimbali za kiutawala kama uwaziri na hata kuwa Waziri mkuu wa JMT. Mimi na...
  11. mkwapuaji

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    Mtu mzima kuonekana unayumba kiimani na msimamo ni changamoto ambayo inaweza kuzorotesha heshima yako kwa jamii. Mh. Lowasa, Edward N. alikuwa mwachama wa CCM tangu enzi zake za uchipukizi mpaka kufikia kupata nafasi mbalimbali za kiutawala kama uwaziri na hata kuwa Waziri mkuu wa JMT. Mimi na...
  12. mkwapuaji

    Rais wa TLS, Fatma Karume anena haya baada ya kutolewa kwenye ratiba ya kuzungumza siku ya Sheria Tanzania

    Usipende kukariri ndugu.... Wanasheria wanaosumbua kenya mfano James Agrey Orengo ni wasomi wa kitivo cha sheria UDSM sasa sijui unafahamu kama Profesa Kabudi ni mkufunzi wa sheria mbobezi pale UDSM school of Law
  13. mkwapuaji

    Ni lipi jina sahihi kwa kundi hili ama ni watu tofauti?

    Nimesoma ujumbe wako kisha nikatafakari nikatambua wewe ni mtu wa namna gani.............. Elewa kuwa sio kila anayetamka namba ni mwanamahesabu pengie anatamka ili kujiridhisha kwamba naye anaelewa kusoma namba vyema.
  14. mkwapuaji

    Ni lipi jina sahihi kwa kundi hili ama ni watu tofauti?

    Wapo watu wangu wanaowaita hawa wahisani, wengine wakiwaita washika dau wa maendeleo, wakoloni au hata wapo wanawaita mabeberu. Ni lipi jina sahihi kwa kundi hili ama ni watu tofauti?
  15. mkwapuaji

    Hiki kitendo cha kujikusanya sehemu moja kikosi maalum KDF leo huko Nairobi, si wangeweza kuuawa wote kwa mkupuo?

    Hawa KDF nawaona wamezingatia zaidi usalama wa uelekeo mmoja sasa sifahamu pande zingine maadui wangekuwako nini kingetokea? kwani nani aliyewaaminisha kuwa upande huo tu ndiko kuna maadu?
Back
Top Bottom