Ndugu zangu wajumbe wa jukwaa salamu!
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya tumbo na mgongo pamoja na miguu kuwaka moto baada ya period.Kila nikienda hospitali kumwona Doctor naambulia painkiller na neurobion na kuambiwa tatizo langu litaisha.Cha kunishangaza hali inajirudia rudia.Sasa tatizo...
Wanawake sijui tulikosea wapi jamani,,,,yaani unampenda mtu kwa moyo wote kumbe yeye anakuchukulia for granted namna hii? seriously?....Pole sana Mkuu kwa unayopitia, ila zungumza na mkeo wa uwazi na siyo kucheat.
Weakness yangu ni kutokuwa tayari kushauriwa.Napenda kufanya maamuzi peke yangu bila kushurutishwa.Mtu akijaribu kunishauri sii jambo la ajabu kuishia kwenye ugomvi na misuto.
Ndoto hazina ukweli wowote.Kama zingekuwa na ikweli basi leo Rais angekuwa ni EL.
Wakati wa kampeni niliota EL anaapishwa kuwa rais zaid ya mara tisa ila hakuwa.
Sio mimi tu, hata rafiki zangu wanaotaga mambo na hayatoke labda kwa probability tu...Mkuu usiamini ndoto.
Mkuu hakuna anayeyajua mapenzi na asikudanganye mtu.Kama ukipata hayo makala jifunze lakini usiyatilie maanani sana...Writers of those journals, most of them are losers of the highest order as long as Love is concerned.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.