MJUMBE WA AMANI
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 262
- 238
Ndugu zangu wajumbe wa jukwaa salamu!
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya tumbo na mgongo pamoja na miguu kuwaka moto baada ya period.Kila nikienda hospitali kumwona Doctor naambulia painkiller na neurobion na kuambiwa tatizo langu litaisha.Cha kunishangaza hali inajirudia rudia.Sasa tatizo langu laweza kuwa nini?
Natanguliza shukrani zangu, natumaini nitapata msaada wenu.
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya tumbo na mgongo pamoja na miguu kuwaka moto baada ya period.Kila nikienda hospitali kumwona Doctor naambulia painkiller na neurobion na kuambiwa tatizo langu litaisha.Cha kunishangaza hali inajirudia rudia.Sasa tatizo langu laweza kuwa nini?
Natanguliza shukrani zangu, natumaini nitapata msaada wenu.