Tofauti na mke wangy mm siwez kumiliki mwanamke mwingine hapa i mean mchepuko but napiga one time nyingi sana ili niwe safe. Mwanaume wengi now days tunanunua Telegram na social media kibao kwa hasara ya kuivunja ndoa maake hawa viumbe huwa hawaelewi hata kidgo mara sms mara call night kali au...
contract termination letter kutoka kwa feisal kwenye Yanga na TFF sasa kama hii sio makeup Propaganda Utopolo itakuwa imepoteza mchezaji muhimu sana kwao…….[emoji736]
Hali ya maisha inatufanya kuwa mioyo migumu na akili za wanyama. Mtu anahangaika daily kukudondosha au watoto wako wapigwe kimaendeleo hichi ndicho kinapandwa mioyoni mwa vizazi vyetu, ushirikina umeshamiri.
Mimi ilinichukua 3 months kupata hela ya kwanza na Miezi 6 kupata ya pili so ukijibu in accuracy na precision utapata survey zenye points Kibao ila zinakula tym
To clarify things,
Nyote mtasoma madodoso yote OK ila watakaojaza dodoso la jamii ni wasimamizi Wa maudhui Bcoz wao Hawatajaza Madodoso mengine kazi yao itakuwa kugawa EA na kusimamia from 23/8 to 3/9/2022
Hio outlet ya,system ya nida iliyokuwa inatumika kutoa online copy haipo kwa sasa (Hadharani) meaning public ilikuwepo kipindi kile Mchakato wa kujiandisha unaanza bcoz NIDA ilikuwa haijawekwa business oriented mno Kwa waliofanikiwa kupata online copy wao walibahatika.
Kwasasa hizo online copy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.