Pole Cai.Hamna jema na hubebeki .Mara mara wazee, Mara wanakaaa tu ofisini!!!mara oooh wanashindana na wengine mara oooh wawndw wakishikw aoko la Adrika mashariki.Huwezi kumridhisha ka mtu .Mdomo mali yako endelea kuponda uana mwisho hayo.
Poleni sana msiokuwa na ufahamu wa Kutosha kuhusu TTCL..Right mgelijua hayo makampuni mmayoyasfia na kuiponda TTCL Yananunua huduma zake TTCL ndio mnauziwa nyinyi!!Kama aivyo ongekuwa imekufa.
Tangu mmeanza kusema inakufa nileo!!!???Mnasahau viongozi wenu walioshika makampuni ya simu kwa kuwa...
Si wanalondana ili wasimwagiane unga!Kairuki kaanza na kuwakinga viongozi iliili kumpamba raisi asimwage unga.Angela muige nape zingatieni haki na ukweli jehanamu itawahisu na mnakaa makanisani viti vya mbele??!! Ajabu sana
Riwa chukua ya TTCL iko bomba sana inaitwa MiFi , mimi natumia na familia yangu , ni ya watu kumi lakini akitokea wa 11 basi achomeke kwenye computer hivyo kufanya idadi ya watumiaji kuwa 11. ni sh. 150,000 na line ya sh 5000 pia utapata ofa ya GB 5 kila mwezi kwa muda wa miezi mitatu na bando...
kwakweli huyu Rais mstaafu aliiacha na kuipeeka nchi pabaya, nia yao ilikuwa ni kuiua TTCL , si mambo ya ajabu sana hayo?Unaipalilia kampuni ya nje kwa maslahi binafsi wakati kampuni ya uzalendo huitahamini???!!!!!
Nimetafuta mtoto mimi na mume wamgu muda mrefu sasa tumeamua kuwekewa mtoto kitaalamu lakini hatujui huduma hii inapataikana wapi na ni sh ngapi? uwezo wa kwenda India na Ulaya hatuna , mwenye taarifa atujuze tafadhali maana tunapendana na vipimo viko ok kwetu sote wawili
Jamani TTCL tumechoka na habari zet]nu za ajabu ,Tataizo la internet litaisha lini?
Huyo BOSI MKUU kwanini asiende vyombo vya habari kuelezea kuna shida gani?Kila siku tunapiga simu wanasema tatizo linashughulukiwa ,tunaomba taarifa rasmi kwenye vyombo vya habari ,kwani hawaoni makampuni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.