Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,573
- 9,142
asisahau kuja kununua jeneza kwangukesho utakufa,, kimbia haraka sana...
asisahau kuja kununua jeneza kwangukesho utakufa,, kimbia haraka sana...
Halafu ndo inakuwaje!!?mwambie akutafsilie maana yake.Akishindwa kojolea mkojo
LimbwataNimefungua hicho kifungashio,nimekuta kuna baadhi ya vitu nisivyovijua,vina rangi nyeusi na vinatoa harufu ambayo nashindwa kuielezea but kama nyama ilivunda hivi,what is iiiit!!???
Mimi nakupenda sana kuliko papuchi yakoMNANIPENDA AU MNATAMANI KUONJA PAPUCHI YANGU
Usicheke ndugu yangu,mambo haya yasikie tu kwa wengine,yasikukute!!!kwenye mkoba wake ulikuwa unatafuta nini tehe tehe tehe wasiwasi wangu ni hilo furushi kulia
Ole wako uchome unachomeka nguo ulizovaa..Duuh,mkuu umeniogopesha lakini kwa uweza wa Mungu aliye hai katu sitadhurika,siamini kama ana nguvu zaidi ya Jina la YESU kristo aliye hai!!!
Sijakuelewa!!!
Katu haiwezekani,mbona mshahara wangu napata ukiwa kamili,na matumizi yangu yanafanana kabisa na kiasi cha pesa yangu!!!Hapo hiyo ni miezi imeorodheshwa kuanzia july mpaka june pembeni ni tarakimi za mshahara wako...mkuu unamfanyia mtu kazi kuanzia mwaka mpya wa fedha ujao
inamaliza uchaqi wooteHalafu ndo inakuwaje!!?
Hahahah we jamaa weweMtumie hizi picha mwambie baby mbona unasafirisha makinikia kwny pochi yako