Mtoa Mada umekurupuka huna data,mm npo mum BSED, kuna kozi za islamic studies ndo wanataka uwe umesoma hill somo LA dini kama zilivyo kozi zingne huwezi kusomea udaktari alafu biology isiingaliwe utachekesha,ila sio wote wanaochukua masomo hayo mbn wakristo tunao wengi wamesomea wapi somo LA...
Kwa wataalam naomba kujua nna michubuko midogo midogo Kwenye lips zangu inachoma choma mithili ya pilipili.
Je Ni ukosefu wa nutrients flan pia tiba yake ni nini tafadhali
Fikiri kabla ya kuandika comment kama huna uhakika na kinachoendelea bora kukaa kimya. Kinachoendelea no propaganda ya kuwafanya waislam waonekane wako hivyo nakushangaa kama in muislam kweli Kuunga mkono ISIS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.