Utakuwa na mtindio wa akili.
Kupigana na magaidi ni tofauti kubwa sana na kupigana na jeshi kwa jeshi.
Gaidi ni raia, anaingia kwako kama raia na anakulipua.
Ni ngumu sana kupigana na gaidi kwani wako kama mapepo au majini, ngumu kujua unapigana na nani lakini yeye anaua amtakaye kwa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.