Tujifunze kutoka Gaza

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
461
1,594
Rwanda ni nchi ndogo ki eneo lakini ina raia 13,000,000.

Ukubwa wa jeshi la Rwanda ni kwamba Ina active personnel 33,000
Jeshi 33000 lenye serikali imara ni ngumu Sana ku-invade.

Tujifunze Vita ya Israel na Hamas. Israel pamoja nakuwa na jeshi Bora na zana bora za kivita, lakini mpaka sasa hivi wasumbuwana na kikundi kidogo cha ugaidi.

USA pamoja na kuwa na jeshi bora walihangaika miaka 20 na Kikundi cha Tariban

Ndugu zangu tuache utani. Sio rahisi kuivamia Rwanda. Vita sio lelemama. Vita ni kazi sio rahisi kuangusha jeshi la nchi. Tuache utani.
 
Hamas,Taliban sio jeshi ni sawa na panyaroad sasa unaweza wamaliza panyaroad kweli bila wao kujiweka wazi.
Magaidi hawana base kama jeshi wao ushambulia upotea
 
Rwanda ni nchi ndogo ki eneo lakini in raia 13000000.

Ukubwa wa jeshi la Rwanda ni kwamba Ina active personnel 33000
Jeshi 33000 lenye serikali imara ni ngumu Sana Ku invade.

Tujifunze Vita ya Israel na Hamas. Israel pamoja nakuwa na jeshi Bora na zana bora za kivita, lakini mpaka sasahivi wasumbuwana na kikundi kidogo cha ugaidi.

USA pamoja na kuwa na jeshi bora walihangaika miaka 20 na Kikundi cha Tariban

Ndugu zangu tuache utani. Sio rahisi kuivamia Rwanda. Vita sio lelemama. Vita ni kazi Sio rahisi kuangusha jeshi la nchi. Tuache utani.
Utakuwa na mtindio wa akili.

Kupigana na magaidi ni tofauti kubwa sana na kupigana na jeshi kwa jeshi.

Gaidi ni raia, anaingia kwako kama raia na anakulipua.

Ni ngumu sana kupigana na gaidi kwani wako kama mapepo au majini, ngumu kujua unapigana na nani lakini yeye anaua amtakaye kwa wakati wowote kwani anakuona
 
Lakini kale kajamaa karefu kameigeuza Afrika mashariki kama barazani kwake kanafanya kanavyo taka na nina uhakika kana watu wake karibu Kila idara afrika mashariki kukapiga inabidi ujipange kweli kweli
 
Hamas,Taliban sio jeshi ni sawa na panyaroad sasa unaweza wamaliza panyaroad kweli bila wao kujiweka wazi.
Magaidi hawana base kama jeshi wao ushambulia upotea
Hamas au gaidi anayejiweka wazi ujue kuanzia siku aliyojiweka wazi hautakuja umuone hadharani.
Ukimuona hadharani ujue ni yule mwanamke mjamzito, yule mgonjwa hospitalini au ni yule mgonjwa au dereva au muuguzi aliyepandishwa ambulance.
Wale wanaojulikana wanakua wamejifungia vyumbani Lebanon, Turker, Qatar n.k
 
Rwanda ni nchi ndogo ki eneo lakini in raia 13000000.

Ukubwa wa jeshi la Rwanda ni kwamba Ina active personnel 33000
Jeshi 33000 lenye serikali imara ni ngumu Sana Ku invade.

Tujifunze Vita ya Israel na Hamas. Israel pamoja nakuwa na jeshi Bora na zana bora za kivita, lakini mpaka sasahivi wasumbuwana na kikundi kidogo cha ugaidi.

USA pamoja na kuwa na jeshi bora walihangaika miaka 20 na Kikundi cha Tariban

Ndugu zangu tuache utani. Sio rahisi kuivamia Rwanda. Vita sio lelemama. Vita ni kazi Sio rahisi kuangusha jeshi la nchi. Tuache utani.
Unajua kati ya hao mil13 wahutu ni wangapi na watusi ni wangapi ...nachukia sana watu ambao amtumii akili zenu vizuri ...vita ni akili...
Israel ina umoja na wapalestina wana umoja


Rwanda ni tofauti kuna kitu mioyoni
 
Rwanda ni nchi ndogo ki eneo lakini in raia 13000000.

Ukubwa wa jeshi la Rwanda ni kwamba Ina active personnel 33000
Jeshi 33000 lenye serikali imara ni ngumu Sana Ku invade.

Tujifunze Vita ya Israel na Hamas. Israel pamoja nakuwa na jeshi Bora na zana bora za kivita, lakini mpaka sasahivi wasumbuwana na kikundi kidogo cha ugaidi.

USA pamoja na kuwa na jeshi bora walihangaika miaka 20 na Kikundi cha Tariban

Ndugu zangu tuache utani. Sio rahisi kuivamia Rwanda. Vita sio lelemama. Vita ni kazi Sio rahisi kuangusha jeshi la nchi. Tuache utani.
Vipi hili jeshi la CCM ambalo makada na watoto wao wanarithishana nafasi nono?
 
Rwanda ni nchi ndogo ki eneo lakini in raia 13000000.

Ukubwa wa jeshi la Rwanda ni kwamba Ina active personnel 33000
Jeshi 33000 lenye serikali imara ni ngumu Sana Ku invade.

Tujifunze Vita ya Israel na Hamas. Israel pamoja nakuwa na jeshi Bora na zana bora za kivita, lakini mpaka sasahivi wasumbuwana na kikundi kidogo cha ugaidi.

USA pamoja na kuwa na jeshi bora walihangaika miaka 20 na Kikundi cha Tariban

Ndugu zangu tuache utani. Sio rahisi kuivamia Rwanda. Vita sio lelemama. Vita ni kazi Sio rahisi kuangusha jeshi la nchi. Tuache utani.
Rwanda hiyo hiyo ya kikabila mkuu. Hakuna nchi ngumu kuipiga Tanzania mzee. Tunatukanana na maccm jaribu kumtukana Rais wetu ukiwa ni raia wa nje. Rwanda wahutu wamenyamazishwa lakini wanakinyongo balaa. Wakipata mwanya wanakinukisha. Kingine Kagame hata watusi wenzie hawampendi
 
Rwanda hiyo hiyo ya kikabila mkuu. Hakuna nchi ngumu kuipiga Tanzania mzee. Tunatukanana na maccm jaribu kumtukana Rais wetu ukiwa ni raia wa nje. Rwanda wahutu wamenyamazishwa lakini wanakinyongo balaa. Wakipata mwanya wanakinukisha. Kingine Kagame hata watusi wenzie hawampendi
Unaumwa malaria sugu wewe.
Watusi gani wasiompenda Kagame?
Watusi wapo tayari hata kumpa Kagame wake zao.
Wasiompenda ni wale wanaoutaka urais
 
Vita ngumu ni urban war gorilla war iyo ndo vita ngumu na askari ni infantry (askari wa miguu)hao wengine wote ni maselule tuu cjui navy,cjui airforce hamna kitu ukiwa na jeshi imara la ardhini akuna mtu atakae kuchezea TANZANIA ina jeshi dogo lakini ni imara wa Ardhini infantry Command ya tz ina askari takribani 15000 ila navy wapo 8000 na airforce cjui 7000 jeshi la ardhini la TZ achana nalo kabisa majirani wanajua...

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Vita ngumu ni urban war gorilla war iyo ndo vita ngumu na askari ni infantry (askari wa miguu)hao wengine wote ni maselule tuu cjui navy,cjui airforce hamna kitu ukiwa na jeshi imara la ardhini akuna mtu atakae kuchezea TANZANIA ina jeshi dogo lakini ni imara wa Ardhini infantry Command ya tz ina askari takribani 15000 ila navy wapo 8000 na airforce cjui 7000 jeshi la ardhini la TZ achana nalo kabisa majirani wanajua...

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Aaaa shekhe ndo umetoka msikitini??
 
Back
Top Bottom