Jamani kuna coding competition organized by google here:
http://code.google.com/codejam/africa/
Current Round is only a qualification round, so it not too late. Round hii inaisha saa 9 usiku leo, kwa hiyo bado kuna masaa kama 9 yakutosha kupata score ya kukuwezesha kupita kwenda kwenye final.
Hawakuelewi sir. Unauliza swali wao wanatengeneza swali lingine na kujijibu wakiwa na uhakika kabisa kwamba wamejibu swali lako. (Wengi wetu huwa tunafeli hivi mitihani).
Wewe unauliza "sheria inakataza kumiliki pingu?", wao wanajibu swali "watanzania huwa wanamiliki pingu?".
Kama hakuna...
Kwa nini wewe uliyemsafi usiende kutoa hizo habari za RUSHWA? Itasadia zaidi kuliko kulalalam hivyo. Na hiyo tuzo tutakupa wewe ili iwe na maanza zaidi. Go ahead and do it ...
Au ungeanza kwa kumrekodi ma kumtoa yeye akidai na kupokea mshiko; haki ya nani ile tuzo tutakupa wewe. Inaelekea...
Mzee ume-summarize kila kitu. I see the future ...
Tuko pamoja. Mwanzo mgumu lakini wataelewa tu ...
Hahaha utamaduni hujengwa na watu wenyewe. Ukikubali kuchangia ujue unasaidia kuuendeleza utamaduni. Usimlaumu yeyote bali we mwenyewe.
Jisemee mwenyewe. Sema "siwezi kukwepa"...
Nimecheka mpaka mbavu zikauma.
Yaani baada ya DECI watu bado hawajaelimika tu.
Ama kweli wajinga ndio waliwao.
Hata kwenye kamusi, mafanikio haiji kabla ya kazi.
Matatizo ya kila mtu kusoma HKL kavu. Ingekuwa ni uamuzi wangu, kila mtu angezoma hesabu na fizikia kwa lazima; angalau kiduchu tu.
Angalau basi tungekuwa wasikivu kidogo tu tujifunze-funze.
Huwezi jua lakini, pengine kuna maana tofauti tofauti za "fuel consumption".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.