Nlichoshuhudia jana kwa Nchema ni malalamiko kuhusu mapungufu ndani ya Serikali na historia ya maisha yake.Nlitegemea angejikita zaidi kueleza mafanikio yake kwa kipindi chake cha Ubunge na kwa kipindi kifupi alichoshikilia nafasi ya naibu Waziri wa fedha ili kukishawishi chama na wananchi...
Kwa nini hyo ruzuku isigawanywe kwa makampuni mengine yote ya simu?.Kwa nini Vodacom tu?
.Ni kweli hitaji kubwa la Watanzania kwa sasa ni mawasiliano ya simu kuliko hata barabara,kilimo,afya,elimu na viwanda?
Poleni na majukumu JF members.
Kama heading inavyosemeka.
Kuna kijana mtaani kwetu ameomba kazi kwenye kampuni moja binafsi hapa Dar lakini moja ya vigezo vyao ni kuwa awe na wadhamini wawili ambao mmoja lazima awe mtumishi wa Serikali
Alivyokuja kuniomba niwe moja ya wadhamini wake mimi...
Zamani mkiwa mnasafiri mkaharibikiwa na gari mlikuwa mnaandaliwa chakula bila malipo na wenyeji wa eneo husika,siku hizi mkiharibikiwa na kushindwa kusafiri kwa muda chakula mnauziwa na wenyeji
Kweli zamani raha!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.