Any govt. must be accountable without distinction to its own people. Mbona mnababaika jamani? eti mimi ni mwalimu na kwa vile naishabikia CDM nisipate mshahara?. Katiba gani hiyo? mbona haijui haki za binadamu na hwaki za raia? duuh
We love you Lema !!!!!!!Go Lema Go go go! hawajui ARS hao. Waliopiga kura kule A. Mashariki ndo watakaopiga kura ARS town. Na ikumbukwe ndugu wa wale wa A. Mashariki ndo hao hao walioko mjini na ndo wapiga kura. Pia hata wale ambao wametokea MS town ndugu zao ndo hao wa A town. Nikiwamo na mimi...
Wazee siko nchini na kwa uwezo wa JF huwa napata nguvu sana kupitia JF hongereni nanyi JF kwa kutupa hizi nafasi za mtandao. Nimefarijika sana kuona Watz wenzangu wanaanza kuuchukia wizi na ufisadi kwanza kabisa nkiwa natanguliza pongezi kwa Lema (MB), Mbowe (MB) na Slaa (MB) kwa kuapa kutoibiwa...
Tutazifupisha safari za nje ya nchi kama za rais na watu kama wa TANAPA ili barabara zijengwe na kwa wakati. Fedha zipo ila ' white colour crimes' has been increased overtime. Ungesema tu Magufuli is fighting with unseen enemy who is hidin behind the cartens of CCM's 'ufisadi' manifesto, i would...
Kwani tuklija kwako hatuwezi kukalia makochi? au ukatupatia juice au hata chai jamani? au sukari bado haijashuka bei nini mwanangu kiasi hata cha kuwapa wageni wako chai?? duu. Vitu vya kawaida sana mbona?
I like that, alafu umempa ukweli. Hii ngoma ya katiba kikwete kadandia Treni iliyokuwa kwenye spidi kali sasa angalia kasaini katiba yenye mapungufu na pia hapa kadanganywa. Maskini Tanzania....
basi kama siasa hazifai vyoni msingesoma political sayansi na economy. Infact politics is everythings tukiwa vyuoni twaangalia namna 'sociological imagination' vs 'collective forces' za watu wa jamii ile au wanasiasa the approach are being complied and how are being responded to assist the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.