kaka wametoa kweli m nimewapigia chuoni wakasema bado hawajapata majina.na kuhu usajiri kuna jamaa yangu yupo hapo mwaka wa pili amesema first year wameambiwa wasubilie kwanza mpaka majina ya mkopo yatoke
kaka waliojua selection zao ni wale waliobahatika kuziona pale zilipo leak wiki iliopita.dah m mwenyewe bado in progres lakn naskia watu wanasema et katika zile coz tana kama ukikuta rangi nyeusi basi hujakizi vigezo lakn kama rangi ni ya blue basi umekizi mi hata sielewi labda na wewe umesikia...
pole sna kaka kwa mkasa uliokukuta.mwaka jana ilinitokea case kama hii na nilikuwa jkt.nilitaman kufa lakn nikajaribu kuwasiliana na watu wa nyumbani wakawa wamenijazia second round coz ya sociology hapo mliman .dah sikuwa na jinsi ikabidi niende chuo ki ukweli maisha yalikuwa tait sana...
Mi mwenyewe course zangu nimeandikiwa procesed zote tano na kwa chini wakawa wameandika procesed succesful.you have been selected.ila nikajaribu kuclick sehem ya application nione kitatokea nn ndo yakaja maandish yanaxema not yet done application.nikajaribu kuangalia majina yote ya second...
lazma majina ya waliokosea yatoke mapema ili walekebishe ili selection zije zitoke kwa pamoja.inaweza kuwa kweli kama mnavyojua muda umeisha na baadhi ya vyuo viko mbion kufunguliwa katikat mwa mwez huu na mwanzon mwa mwezi ujao
sina uhakika na hizi taarifa ila na mm nimezisikia tu kama ni kweli basi tusubilie tu kwan mbali basi kesho tarehe 3 ni mwisho mwa wiki hii tu tutaona kwani njia ya waongo ni fupi sana.wahanga wa vyuo na mikopo tuwe na subira tu najua mmechoka sana kukaa nyumban toka mmlipomaliza form six.mm...
Pole sana kaka siku zote katika maisha mambo mazuri huwa hayaji kwa usiku mmoja tu. Mwenyezi Mungu huwa anapenda kumpima mtu kwa kumpatia mitihan migumu na mikubwa kabisa ambayo kwa maamuzi ya haraka haraka unaweza kumkufuru.
Cha msingi we angalia fulsa nyingne tu kama umejaribu kuomba na...
kweli kaka kabisa mwenyewe nimeingia jana nikakuta hvyo nikapanic .lakini nahsi mtandao utakuwa hujatulia tu.na kuhusu mkopo utakuwepo tu coz ni priority hyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.