Mbona unatuzingua bro ina mana sisi hatujui kusoma mana pale kuna wanaoendelea ambao direct cost yao haifiki hata laki mbili na first year ndo ipo hiyo laki 207500
Kama haukuomba mkopo na heslb walisema watatoa utaratibu maalum wa kuomba mkopo kwa waliothibitisha lakini mpaka hamna kitu nimewaulza bodi ya mikopo juzi wakasema niwe na subira.Inaonekana tunaenda kuombea chuoni huko huko alafu mbona tumewapigia udom wanasema tuition fee hatulipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.