Mbona unatuzingua bro ina mana sisi hatujui kusoma mana pale kuna wanaoendelea ambao direct cost yao haifiki hata laki mbili na first year ndo ipo hiyo laki 207500
Kama haukuomba mkopo na heslb walisema watatoa utaratibu maalum wa kuomba mkopo kwa waliothibitisha lakini mpaka hamna kitu nimewaulza bodi ya mikopo juzi wakasema niwe na subira.Inaonekana tunaenda kuombea chuoni huko huko alafu mbona tumewapigia udom wanasema tuition fee hatulipi
Jaman msaada et unapoenda kulipia ada benki pale kwenye payment slip sehemu ya jina unaandika jina ambalo lipo kwenye admission letter au unaandika uliyokuwa unatumia kidato cha nne
Asante ndugu lakin nikuulize kidogo eti pale unapolipia ile slip unaandika majina yako yote sasa mimi sijaelewa unaandika kama uliyokuwa unatumia kidato cha nne au kama yaliyokuwepo kwenye admission letter kwamba unaanza na la uko alafu la kwangu mwisho la baba? asante kwa ushirikiano wako
Jaman nisaidie eti kulipa ada za udom mpaka kwenye benk za chuo au hata kwenye benk za huku nyumbani unaweza kulipia mana kuna mtu ameniambia unalipia kwenye benk za pale chuo wakat huo huo admssion letter inasema tufike chuo tareh 31 tukiwa na payment slip sasa mimi nashindwa kuelewa tunalipia...
Jaman naombeni mnisaidie eti hii direct cost,hela ya bima pamoja na union student tunalipia tukiwa huku huku nyumban(benk za huku huku) au mpaka benk za pale chuo
Valence kama ss tunatakiwa kulipa direct cost ambayo ni 2321000Tsh na student union ambayo ni 5000Tsh na bima ya afya NHIF fund ambayo ni 50400 Alafu tuition fee tunalipia na sponser je sponser hao ni nani asante kwa ushirikiano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.