Gradute fresh kutoka shule hawezi kufanya project kubwa kwa usahihi. Siyo kwenye hii field tu, ni kazi zote. Hata pilot akimaliza mafunzo haingii moja kwa moja kufanya kazi peke yake, anakuwa chini ya mabingwa kwa muda fulani. Madaktari hivyo hivyo. Mainjinia hivyo hivyo.
Kwa nini unadhani mtu akisoma IT ni lazima ajue kutengeneza website kwa utaalam? Wewe ndiye mwenye tatizo. Information Technology ni field pana sana na unaweza ku-specialize kwenye mambo mengi. Kuna magwiji wengi wa IT ambao hawawezi kutengeneza website kwa kitaalam. Naona mawazo yako ni kama...
Jaribu kusoma kwa ufahamu. Kwanza mimi sihusiki kwenye kulipwa pension. Nilichosema nikuwa kama wanataka waanze mikataba mipya badala ya kubadilisha njiani. Ikianza mikataba mipya wale waajiriwa wapya watakuwa na nafasi ya kukubali mfumo wa pension ili waajiriwe au kukataa na kutoajiriwa. BTW...
Uko sahihi kabisa. Watumishi wa Mungu ambao ni feki siku hizi wako wengi mno. Nilishangaa sana kipindi cha Magufuli hata kanisa Katoliki lilikuwa limeingia kwenye mtego na kumfanya Magufuli kama ndiye mhubiri wa wakati wa Ibada.
Ama kweli kua uyaone. Huzungumzii tatizo la ajira bali unapendekeza umri wa kustaafu uwe 45 ili vijana kupata nafasi!!!! Nilikuwa najua kuwa tuna tatizo la elimu ya kukariri lakini sikujua kuwa tatizo ni kubwa kiasi hiki!!
Hizi ni kama akili za panya. Badala ya kutaka matatizo ya upatikana ajira yapatiwe ufumbuzi wewe unataka kuhamisha kutoka kwa vijana kwenda kwa umri wa kati. Tanzania elimu yetu inatufanya tusitafakari kidogo. Tatizo la ajira linatokana na uongozi mbovu wa CCM na siyo muda wa kustaafu.
Kuna video inasambaa ikionyesha mzungu akipigwa kwenye kituo cha mafuta ''Kenya''. Hii video ipo tangu mwaka 2020 na tukio lilisemwa kutokea South Africa.
Mkasa wa kusikitisha unaoonyesha serikali iliyoshindwa kila kitu. Tatizo ni kuwa mtanzania ukimwambia tudai katiba mpya itakayotupa viongozi bora atakwambia ''katiba haileti chakula mezani''
Haya wengi tuliyasema wakati akiwa hai, kwenye kilele cha urais wake. Tulimwambia aangalie sana, wapinzani wake kama kina Lissu, ni watu wanaompenda sana na wanaanika upungufu wake ili arekebishe. Tukamwambia maadui wake wakubwa wako CCM na wengi ni wale wanaomwimbia mapambio ya kumtukuza...
Sikiliza: Mahakama ndiyo inaamua alipwe kiasi gani kulingana na uzito wa case. Kiwango alichotaja hakiwezi kukwamisha malipo iwapo atashinda kesi, sana sana mahakama inaweza kusema kiasi ni kikubwa hivyo kipungue.
Hii ni moja ya comment chache sana kwenye hii thread ''yenye akili''. Unaonekana wewe ni mtu ambaye uko well informed, educated na una exposure. Comments nyingine nyingi zimejaa ''uchafu wa ubongo'' wa kibongo-bongo. Yaani mambo seroius wanaleta mzaha au wanaonyesha chuki kwa mwathirika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.