Huyu Kigwangala si mtu mwenye msimamo. Alikuwa mmoja wa waanzilishi wa Mgomo wa Madaktari pale Muhimbili. Wakati wenzake bado mametunisha msuli na Serikali ikionyesha dalili za kukubali matakwa ya madaktari yeye akaenda kumuangukia Sumaye na kuomba msamaha kwamba tuko chini ya miguu yake...
Kigwangala ni mnafiki tu na hata uso wake unaonyesha. Ndio maana wakati wa ule mgomo alimuwa mtu wa kwanza kwenda kupiga magoti kwa Sumaye kuomba msamaha, na kusema yuko chini ya miguu ya Sumaye. Huyo jamaa hana jipya hapo bungeni ni kama wana magamba wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.