Unadhani Israel inatafuta mateka tena? Kama wapalestina na watekaji Hamas wenyewe hawana makazi maalum na chakula, mateka watapewa chakula gani? Israel inajua kabisa si rahisi kuwapata mateka wakiwa hai, ni kama imewa sucriffice, kwa sasa wamejielekeza zaidi kuwaeliminate au kuwapunguza kwa...
Baada ya mechi muwe pia na utaratibu wa kuja kurekebisha mahesabu ya 'nabii' mnazozitoa. Unakuta jitu linaanzisha uzi mrefu halafu mechi ikiisha lina 'nyuti'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.