Lengo la Israel ni kuwatokomeza Hamas. Lengo la Hamas ni kukomboa ardhi wanayodai ni ya kwao ila inakaliwa na Wayahudi. Sasa hapo nakuachia mwenyewe upime ni nani anaelekea kutimiza lengo lake baada ya miezi 7 uliyosema
Hakuna mateka tena, walishafariki. Kama Hamas wenyewe hawana chakula wala makazi, watawapa mateka accomodation gani? Hata Israel inashambulia tu ikijua target ni kuwamaliza Hamas, na si kutafuta mateka
Watawashikilia wapi wakati hawana tena mahali pa kukaa? Huko Misri hawataki kuona mpalestina yeyote anaingia, achilia mbali Hamas, maana wanawajua watawaletea machafuko
Hakuna aliyewakataza Yanga kushiriki. Kama Simba inatafutiwa kombe, basi Yanga ingeshiriki kuzuia Simba isilipate. Mashabiki wakati mwingine tuheshimu maamuzi ya viongozi wa timu zetu. Viongozi wa Yanga wameona si busara kujiingiza katika mashindano hayo, basi na mashabiki inabidi watulie...
Huwa sioni haja ya mtu kutoa maneno machafu wakati wa mijadala ya kawaida kabisa.
Mpira ni pesa, wote unaosema wanachoka wanahitaji pesa. Nafasi ya pili haina maana kama haina pesa. Kumbuka mshiriki wa AFL alipata 5B+ kabla hajafanya chochote
Hata African Football League ni michuano ya kuteuliwa, lakini ndio michuano yenye pesa nyingi kwa washiriki kuliko michuano yote ya ngazi ya vilabu barani Afrika. Mpira ni biashara pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.