Hizi ni habari njema kwa Mamelodi Sundowns, maana yenyewe imewazuia nyota wake watatu Ronwen Williams, Themba Zwane na Teboho Mokoena kujiunga na timu ya taifa ya Bafana Bafana
Walisema wanaitaka Simba kama ambavyo Yanga walivyokuwa wanasema wanaitaka Mamelodi. Kwani Yanga walivyokuwa wanasema wanaitaka Mamelodi ni kwa kuwa Mamelodi ni mteremko au kwa kuwa itawapa kipimo kikubwa? Mamelodi waliitaka Simba 😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.