Diamond analipwa awards sasa kutokana na dawa za kulevya alizowasaidia kusafirisha. Awards hazitolewi hivi hivi, kwa nyimbo gani za diamond??? Mdogo mdogo?? That ----!!?
Mkuu unaweza post ngoma zilizotamba ktk clubs zetu hapa tanzania? Tafadhari 1990 -1992. Siyo hizi zilizotamba nchi za magharibi bali zile madj wetu walizokuwa wanapiga clubs bila kujali zipo ktk chart au la...
Huyo samaki mchanga..wawakamate akina ridhiwani kikwete wanaobebesha watu mizigo mikubwa ya madawa. Mzigo wa Tshs 40,000 ni kuvuta mwenyewe. Wanaweka kesi kubwa wakati kule uingereza kiasi hicho hukamatwi na polisi yeyote. Gharama za kumsomea kesi hiyo leo ni mara 10 ya thamani ya madawa...
Sizitaki mbichi hizi!! Hahahahha demu mchafu kama watoto wote wa fisadi tanzania. Ingekuwa siku za Edward Moringe Sokoine fisadi wote wangenyongwa......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.