Hawa madogo nimeamini kweli ni yamoto
Maana jana london kiliwaka. ..waandaaji
Pia walitisha sana. .kwanza show ilifanyika
Ukumbi 5 star na show ilikuwa Live bila chenga. .sijawai kwenda kwenda kwenye show nikaenjoy vile...madogo wanakamua nonstop
Live kucheza na kuimba vizuri mno..hawa vijana wana bright future sana
Maana jana london kiliwaka. ..waandaaji
Pia walitisha sana. .kwanza show ilifanyika
Ukumbi 5 star na show ilikuwa Live bila chenga. .sijawai kwenda kwenda kwenye show nikaenjoy vile...madogo wanakamua nonstop
Live kucheza na kuimba vizuri mno..hawa vijana wana bright future sana