Recent content by LA TOVI

  1. L

    Kamweeeee???

    kama ilivyo hii ya kwako . siunajua tena twajuana kwa viremba?
  2. L

    Wandugu nani hayuko bussy?

    kwani ndo kakushikia usingizi?? Acha kujishombondoa bana?
  3. L

    Wandugu nani hayuko bussy?

    kwani kakushikia usingizi??? Au unajishombondoa??
  4. L

    Umeme zanzimbar ushakuwa keroooo

    Polen wajamen sie wenzenu tushazoea yakhee
  5. L

    Msaada wa magodoro original jijin dar??

    Wakuu naomba msaada wenu juu ya magodoro ni wapi ntapata godoro zuri original hapa dar. Ama ni godoro aina gani ndiyo zuri lenye ubora . Nilipokuwa mkoani nilikuwa natumia godoro la dodoma na lilikuwa bomba sana mpaka sasa nikirudi nalikuta lipo poowa sana. Ila kwa hapa dar nishanunua mara...
  6. L

    Namba hii ya simu inanisumbua.....

    Mi bado sijakuelewa unataka ushauri gan sasa. Mtu anayekusumbua unamjua na wewe hutaki usumbufu so siumchukulie mwendo sasa. Kama vip iblock hiyo namba. Ukitaka ushauriwe vizuri na wanajamvi funguka vizuri anakusumbua je? Kivipi?.
  7. L

    Nini madhara ya karanga na korosho kwenye miili yetu?

    mkuu hebu tudokeze kidogo hapo kwenye MIHOGO kwan sie wengi tunaitafuna sana bila kujua mathara yake. Hii ndo raha ya jf bana
  8. L

    dawa hatari kutumia,soma zaidi,

    hakuna cha kushangaa hapa wao wanatumia uwendawazim wetu kufanya mambo haya ya ajabu. Ikiwa viongozi wetu na mafisadi wakiumwa kidogo tu mbio india hata mafua tu wanakimbilia huko na huku hapa tz kuna wataalam kibao. Ndiyo mana viongozi wetu wanakimbilia india kutibiwa hawathubutu...
  9. L

    Naomba ushauri na tiba ya kikohozi na mafua kwa watoto

    Vuta subira kidogo naona mzizi mkavu anamalizia malizia kupasha misuri moto kaa mkao wa kula.. Ukiwa mvivu wa kusoma kamwe utaishia kumchukia mzizimkavu.
  10. L

    Airtel loophole

    mkuu mwanzisha thread hana lolote lile wala jipya kwani wao hawawezi mtumia PM ??. Inaonekana hajawah tumiwa PM nin??.
  11. L

    Kamweeeee???

    ukimaliza kuvuta hisia usisahau kunihisisha mi nimwenyeji au mgen??
  12. L

    JF: Rankings, Reputations na Maswali Mengineyo..

    Mi naomba kuuliza kwanin forum/majukwaamengine hayafunguki kama DINI?? Na ni vip naweza changia jf kifedha mbona hii ishu imewekwa kisili sana.
  13. L

    Ni muda wa kumuomba msamaha AFANDE SELE

    Bado soggy naye kupata haki yake maana nasikia walimtoa kwenye station 1 huko mwanza alikokuwa anafanya kazi akaahidiwa kupewa shavu clauds kuja huku wakampotezea. Jamaa anahasila nao sana.
  14. L

    Najuuta ku mpigia kura sugu awe mbunge wangu

    Sawa wamepatana je? Na zile albam zake za antivirus itakuwaje??.
  15. L

    Nikaribisheni baba yenu nabisha hodi JF

    Aaaaa wewe peleka ufather kwa wanao na mkeo nyumban kwako hapa wewe ni kama kindagaten tuu. Kama huamin zingua wanajamvi ndio uone. Mkuu hapa hakunaga ufather bana.Huo uporoto wako peleka facebook bana. Ila kalibu jaribu kuruka ukuta funguo kaondoka nazo INVISIBLE
Back
Top Bottom