Kwa upande wangu, Mkutano ulifana sana hasa kwa uwingi wa watu, watu walikuwa wengi saana haijawahi kutokea kwenye medani ya Siasa za Tanzania, tatizo nililoliona kwenye ratiba ya UKAWA, muda aliopewa Mgombea Urais ulikuwa ni mdogo sana, otherwise nawapongeza sana.
MUNGU uzilaze mahali pema peponi amen. Kwa vile mlitoa miili yenu iwe dhabihu ya kweli kwa kuacha kila kitu na kwenda kanisani kuhudhuria ibada hakika Mungu hataacha hivi hivi roho zena, Mungu awasamehe makosa yenu yote Amen.
Poleni sana Ma-ccm kwa pigo kubwa hilo, penye ukweli uongo hujitenga, ni kitu kibaya sana kumsingizia au kumbambikia mtu kosa, kumbuka alivyokaa mahabusu muda wote huo kwa uongo wenu, nawakikishia kuwa mmetenda dhambi, mmemtesa mtu asiye na hatia kwa interest zenu za kisiasa.
Nguvu yote iliyotumika kumkamata na hata chai alikuwa anapewa dk1 ila mahakamani mambo rahisi kabisa na mtu yupo nje kwa dhamana, hakika hawa polisi wetu wanatumia sana siasa, wanajisikiaje baada ya muda mfupi wnakutana nae uraiani, aibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.