Naima Ernest
Member
- Apr 5, 2013
- 41
- 22
Wanabodi
kuna sakata linaendelea kwenye soko la Kilombero,kuhusu uhalali wa nani anastahili kulipwa Ushuru,Diwani wa kata ya Levolosi Mh Nanyaro amekuwa kwa wiki nzima akisisitiza wananchi kutolipa ushuru kwa kuwa wanaochukua hawana mkataba na Halimashauri ni makada wa ccm walioletwa na Dc kinyume cha sheria,na fedha hazifiki Council
Muda huu Mh Nanyaro yupo sokoni na ametangaza kuwa anampeleka DC mahakamani Jumatatu kwa kuibia council,
Huyu DC ni muhuni,hana kazi,ameingilia Halimashauri,anaiba kodi zenu,jumatatu lazima apande kizimbani,yeye pamoja na aliowaleta huku sokoni,muda wa kufanya uhuni umepita,amesema Nanyaro......
kuna sakata linaendelea kwenye soko la Kilombero,kuhusu uhalali wa nani anastahili kulipwa Ushuru,Diwani wa kata ya Levolosi Mh Nanyaro amekuwa kwa wiki nzima akisisitiza wananchi kutolipa ushuru kwa kuwa wanaochukua hawana mkataba na Halimashauri ni makada wa ccm walioletwa na Dc kinyume cha sheria,na fedha hazifiki Council
Muda huu Mh Nanyaro yupo sokoni na ametangaza kuwa anampeleka DC mahakamani Jumatatu kwa kuibia council,
Huyu DC ni muhuni,hana kazi,ameingilia Halimashauri,anaiba kodi zenu,jumatatu lazima apande kizimbani,yeye pamoja na aliowaleta huku sokoni,muda wa kufanya uhuni umepita,amesema Nanyaro......