Nimenunua kiwanja mwaka 2007 kupitia wakili na nikajenga ndani ya miezi 2 nikahamia.mwaka Jana ndugu ya aliyeniuzia wanakuja kudai kwamba ndugu yao(marehemu) ajaniuzia na wana documents zote za kiwanja na mm ninazo za kwangu ila zinafanana na za kwao.hivi kuna uwezekano wa kudhurumiwa?
Nipo buza tanesco temeke DSM king'amuzi no 02139150556-3 ni cha dish,kilionyesha no service niliwaita mafundi wenu wakalekebisha baada ya siku tatu imekata tena inaonyesha E01:No input signal
Nawapigia cm mnasema tatizo litashughulikiwa,sasa ni wiki ya tatu wale mafundi nawapigia cm wasema...
jina langu limetoka udom course special ya ualimu wa masomo ya sayansi diploma na tumeambiwa tuombe mkopo lkn heslb deadline ni sept10 wkt majina yametoka sept14
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.