Request Rejected
Sina hakika sana, Ila kuna uwezekano mkubwa mechi ikaonyweshwa online katika link hiyo hapo juu toka kwenye website ya klabu ya al ahly
Nadhani Stars inajitahidi sana. Nimeangalia dakika 30 za mwisho kipindi cha kwanza. Golikipa ni mzuri sana, bila jitihada zake tungekuwa tumepigwa mbili mpaka half time hii. Beki mwenye jezi namba 2-nadhani ni Nyoni huyu, anacheza vizuri sana. Tatizo letu mpira unadunda sana eneo letu...
Ushauri wangu kwa Yanga:
1: Nidhamu iwe nambari moja uwanjani. Waarabu watatumia kila mbinu ili mmoja wenu au wengi apewe kadi nyekundu. Mkisukumwa msirudishe kwa kuwapiga ngumi bali muwe kama kondoo vinginevyo mtacheza pungufu na mtakuwa wacomoro kwao.
2: Kushambulia mwanzo mpaka mwisho huku...
Kwa kuwa tulishafungwa 1-0 nyumbani, mechi kama hii ilifaa iwekwe mikakati kuwa waganda awagusi kabisa nyavu za Stars. Lakini wameshazigusa tena mara tatu-tafsiri ni kwamba Stars hapo hamna kitu, wameshindwa kabisa. Hii sio timu ya kuitegemea tena. Kama tunataka kushinda mashindano ya kimataifa...
Hata mie nilishangaa kumuona Bocco kwenye list. Anacheza vizuri mechi za nyumbani lakini za kimataifa awezi, mechi muhimu kama hii wangemuweka benchi. Sikusema mapema kwa kuwa namuamini kocha, lakini kama mpaka usawa huu aleti mafanikio wampumzishe mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.