Recent content by KIJIJI CHA HAKI

  1. K

    Gavana na Waziri wa Fedha vamia,funga,zuia vikampuni vya kukopesha pesa mtaani vinaua uchumi na watumishi

    Kumbuka kuwa Tanzania tunaamini katika soko huru, yani mtu yeyote anauwezo wa kuchagua huduma au bidhaa anayoitaka popote pale ilimladi awe ameridhia. Sasa mtumishi anakopa benk bado anaishia kupata matatizo kutokana na elimu ndogo ya fedha aliyonayo, anakopa saccos ya shule kwenye riba ndogo...
  2. K

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    asante kwa elimu hii. je, uric acid nasababishwa na nini na tiba yake ni nini?
  3. K

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Naomba kujua kuwa, je Kuna tiba halisi ya vidonda vya tumbo? Na nini hasa tiba ya ugonjwa huu?
  4. K

    Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais UKAWA-Mbeya

    ameshafika mgombea mtarajiwa?
  5. K

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Kwani sasahivi kilo moja imefika shilingi ngap?
  6. K

    Kwa wanaotumia au waliotumiaTecno P5

    As ante sana mkuu, imekubali vizuri. Lakini bado Luna maneno yanakuja tu yameandikwa your phone is in danger. Joe nifanyeje?
  7. K

    Gharama za Photo Printers!

    mkuu utauwa msaada kwangu.
  8. K

    Kwa wanaotumia au waliotumiaTecno P5

    jaman,tecno p5 ina viris kama 14 hivi; je nitawezaje kuwatoa hawa virus? msaada unahitagika wanajamii.
  9. K

    Kwa wanaotumia au waliotumiaTecno P5

    nashukuru sana mkuu ymollel pdf imefunguka. ngoja niendelee na hii word na excel.
  10. K

    Kwa wanaotumia au waliotumiaTecno P5

    vp kuhusu kupakua pdf document inskuwaje wakuu kwakutumia tecno p5
Back
Top Bottom