Furaha ya Mwanadamu iko kwenye kuishi kwa wema,Ndoa ni jambo jema ambalo lilianza kwa Adam na Hawa..Hakika ya dunia ni starehe..na starehe iliyobora kumpata Mwanamke Mwema.
mim kwa uelewa wangu wa miguu ya bandia,huu mguu ulikuwa wa kuwaaminisha watu kuwa wameibiwa ili wapate nguvu ya kuanzisha vurugu baada ya kugalagazwa na magufuli,ila kiukweli uchaguzi ulikuwa kavu kavu,aliyechapika akubali matokeo,..hizo conspiracy za kitoto...
wamepagawa na wala hiyo techonology hawana,wao wana toleo la 27 la hiyo technology na ukipiga inabidi uwe ft 600 high na haiendi km 1500,putin alizopiga ni toleo la 30 na unapiga ukiwa ft 200. high.
umekutana na graduate wangapi mpaka umetoa hitimisho hilo?tatizo sio chuo tatizo ni mwanachuo mwenyewe,kama husomi kwa bidii ,huna mda wa kwenda library,huwezi kuwa mzuri kazini hata usome harvad, viva udom,viva business department viva madam dorica...ulitukazia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.