Furaha ya Mwanadamu iko kwenye kuishi kwa wema,Ndoa ni jambo jema ambalo lilianza kwa Adam na Hawa..Hakika ya dunia ni starehe..na starehe iliyobora kumpata Mwanamke Mwema.
mim kwa uelewa wangu wa miguu ya bandia,huu mguu ulikuwa wa kuwaaminisha watu kuwa wameibiwa ili wapate nguvu ya kuanzisha vurugu baada ya kugalagazwa na magufuli,ila kiukweli uchaguzi ulikuwa kavu kavu,aliyechapika akubali matokeo,..hizo conspiracy za kitoto...
wamepagawa na wala hiyo techonology hawana,wao wana toleo la 27 la hiyo technology na ukipiga inabidi uwe ft 600 high na haiendi km 1500,putin alizopiga ni toleo la 30 na unapiga ukiwa ft 200. high.
umekutana na graduate wangapi mpaka umetoa hitimisho hilo?tatizo sio chuo tatizo ni mwanachuo mwenyewe,kama husomi kwa bidii ,huna mda wa kwenda library,huwezi kuwa mzuri kazini hata usome harvad, viva udom,viva business department viva madam dorica...ulitukazia...
lizaboni huwa nafatilia anayoyaandika,mwishoni hutokea kweli,hata ile ya lowassa kuhamia chadema,alileta mpaka picha ya apson akiwa na yule boss supermarket,sikutaka kuamini,lakini mwishoni ndivyo ilivyokuwa.
DIni haiko inferior kwa wazungu,labda waislamu wenyewe ndo wako inferior kwa wazungu,na kama wapo ni wale wasiojitambua,uislam kama uislam uko perfect na msafi,usifananishe udhaifu wa wa waislamu wasiojitambua na uislamu,ni vitu viwili tofauti, hukumu uislamu kwa...
kama wanafanya ivyo wanakosea,mim ni muislam na huwa nikienda hospitali natoa zawadi na kuongea na wagonjwa bila hata ya kuwauliza majina yao wala dini zao,kwani hatujausiwa kuishi ivyo,tukiwabagua kiasi icho vipi mtaufahamu uislamu?wanaofanya ivyo hakuna walichokipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.