Mimi mwanzo nilimaanisha huwa kuna complication kama njia ya mama isipoendana na ukubwa wa mtoto, kama njia ni ndogo huwa mtoto hutoka akiwa amechoka, na anaweza kupata kitu kwa kitaalamu inaitwa birth asphyxia, one way ya kutambua ukubwa wa mtoto aliyeko tumboni ni kwa kufanya clinical...
Ila hapo wote wana makosa, huyo dada kwanza ni mwongo kamdanganya hadi mume wake wa sasa hivi kwamba jamaa ni marehemu, then kamdanganya mtoto na biological father, mi sitaki kujua kuhusu what happens hapo katikati lakini ninachokiona ni mshikaji kafanya jambo la maana kumtafuta binti yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.