Hapa hoja si Matinyi kuwa kibaraka au kwenye payroll ya Mwarabu, tungekuona mtu wa maana kama ungejibu hoja za Matinyi zilizopo kwenye Makala yake, Makala ambayo nimeisoma na sioni tatizo.
Mimi kuhusu pesa wanazokusanya sio issue kwa sababu halazimishwi mtu kulipa etc. Lakini my concern ni social aspect ya fiesta. Hivi tunaandaa kizazi gani Watanzania? Wengi wanaohudhuria ni vijana wadogo. Serikali ilitazame hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.