Hapa hoja si Matinyi kuwa kibaraka au kwenye payroll ya Mwarabu, tungekuona mtu wa maana kama ungejibu hoja za Matinyi zilizopo kwenye Makala yake, Makala ambayo nimeisoma na sioni tatizo.
Mimi kuhusu pesa wanazokusanya sio issue kwa sababu halazimishwi mtu kulipa etc. Lakini my concern ni social aspect ya fiesta. Hivi tunaandaa kizazi gani Watanzania? Wengi wanaohudhuria ni vijana wadogo. Serikali ilitazame hili.
Duh! Lakini nadhani Mhariri Masyaga Matinyi kuwa na tuhuma za rushwa si hoja hapa, kwa sababu hatuishi kwa tuhuma, kama ni tuhuma ni nani asiye na tuhuma nchi hii?
Navyomfahamu Msigwa, uwezo wake wa kupambanua mambo ni mdogo sana tofauti na wabunge wapiganaji na wakombozi wa CHADEMA kama Tundu...
Hizi ni mvua za rasharasha tu. Mapokezi makubwa yatakuwa siku anatoka Dodoma akiwa mteule. Hakika siku hiyo Watanzania tutaona ishara kutoka Mbinguni. Kila lakheri KIONGOZI WA DHATI, Edward Lowassa. Kelele za wasioitakia mema Tanzania kamwe zisikutikise.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.