JE,unajua kuwa tiba pekee ya kuacha punyeto ni ulaji wa vitungu saumu na maji.
Matokeo yake ni pamoja na kuratibu ubong hasa homoni ya testeron iliyo kiwango cha juu has wanaongalia picha za x na kujichua pia maji hufanya njia ya mkojo isiwe kavu.
Hello JF members,
Shida yangu ni kuwa kila nikimtongoza msichana naishia kutukanwa hadi kushushuliwa.
Naomba ushauri wenu ninyi mnafanyaje jamani kunasa viumbe hawa mpaka wanajaa geto hawa viumbe, au kamzizi gani kanafanya kazi wakuu?
Msaada.
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.