Mkuu ngoja nikujibu:
1. Nani hapa kwetu ana uwezo wa kumiliki ndege za abiria awezd kibiashara kushindana na hayo mashirika? - Unafanya assumption kwamba ilikuwa lazima Tanzania nayo iwe na shirika la ndege. Hiyo hoja imeshapanguliwa hapo juu na wachangiaji wengi. Siyo lazima Tanzania iwe na...
Mkuu, hapo kwenye bei umenena. Kwanini mashirika kama Delta ya Marekani inapiga ukunga kwamba ushindani kati yao na mashirika ya ndege za Uarabuni sio fair? Kwa sababu Waarabu wanafungulia bomba la mafuta kama subsidies kwa mashirika yao.
Siyo kwamba hatupendi chetu, ila tunasema ukweli...
Kingunge kaamua kuwa kwenye upande sahihi wa historia. Dhana ya kijiunga na chama ni mambo ya kizamani. Mtu unaweza kuwa independent lakini ukawa unavutiwa na upande fulani.
Mapanki...tunakuja February 7, 2015.
Usishangae kwa nini tamthilia itakuwa na urefu wa kama dakika 10 tu hivi.
Kwa nini tumeamua tamthilia ya Mapanki iwe na urefu wa dakika 10 badala ya dakika 30 mpaka 60? Ni kwa sasabu mpango wetu ni kuonesha tamthilia yetu kupitia mtandao tu. Kwa...
Hao watu tu hoii kivipi? Ningependa kusikia mtazamo wako na kile ambacho ulikitarajia...hasa ukizingatia hii ni sanaa na siyo lazima kila kitu kiwe kama cha Oysterbay/Masaki. Lete data.
MAPANKI, tamthilia ya kipekee inakujia hivi karibuni.
Pata preview hapa : http://www.youtube.com/watch?v=Ysv6fSIhKqA
Kwa habari zaidi: www. mapanki.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.