Recent content by Jazzie

  1. Jazzie

    Kwanini kufufua Air Tanzania kwa fedha zetu wenyewe badala ya ubia?

    Mkuu ngoja nikujibu: 1. Nani hapa kwetu ana uwezo wa kumiliki ndege za abiria awezd kibiashara kushindana na hayo mashirika? - Unafanya assumption kwamba ilikuwa lazima Tanzania nayo iwe na shirika la ndege. Hiyo hoja imeshapanguliwa hapo juu na wachangiaji wengi. Siyo lazima Tanzania iwe na...
  2. Jazzie

    Kwanini kufufua Air Tanzania kwa fedha zetu wenyewe badala ya ubia?

    Mkuu, hapo kwenye bei umenena. Kwanini mashirika kama Delta ya Marekani inapiga ukunga kwamba ushindani kati yao na mashirika ya ndege za Uarabuni sio fair? Kwa sababu Waarabu wanafungulia bomba la mafuta kama subsidies kwa mashirika yao. Siyo kwamba hatupendi chetu, ila tunasema ukweli...
  3. Jazzie

    TUMAINI - Filamu Mpya Iko Jikoni

    Hebu pata trailer kidogo trailer ya Tumaini utoe maoni yako
  4. Jazzie

    TUMAINI - Filamu Mpya Iko Jikoni

    Hebu pata trailer ya TUMAINI, filamu inayotarajiwa kupakuliwa siku za karibuni...
  5. Jazzie

    Umechoka Tamthilia za Kichina?

    Kama umechoka tamthilia za Kichina, hebu pitia hapa upate tamthilia mpya ya Kibongo. https://www.facebook.com/MapankiShow/
  6. Jazzie

    Umechoka Tamthilia za Kichina?

    Kama umechoka tamthilia za Kichina, hebu pitia hapa upate tamthilia mpya ya Kibongo. https://www.facebook.com/MapankiShow/
  7. Jazzie

    Mapanki - tamthilia bomba mtandaoni

    Hebu burudika... https://www.youtube.com/watch?v=pbmjF7V89iI&list=PLYdGiQ7Qm10o5fagoWEXwIykSU1JGOJDn
  8. Jazzie

    Burudika na Tamthilia ya "MAPANKI"Mtandaoni

    https://www.youtube.com/watch?v=pbmjF7V89iI
  9. Jazzie

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Kingunge kaamua kuwa kwenye upande sahihi wa historia. Dhana ya kijiunga na chama ni mambo ya kizamani. Mtu unaweza kuwa independent lakini ukawa unavutiwa na upande fulani.
  10. Jazzie

    Computer accessories: Namtafuta business partner

    Mkuu, ni accessories za aina gani unatafuta?
  11. Jazzie

    MAPANKI - Urefu wa Tamthilia

    Mapanki...tunakuja February 7, 2015. Usishangae kwa nini tamthilia itakuwa na urefu wa kama dakika 10 tu hivi. Kwa nini tumeamua tamthilia ya Mapanki iwe na urefu wa dakika 10 badala ya dakika 30 mpaka 60? Ni kwa sasabu mpango wetu ni kuonesha tamthilia yetu kupitia mtandao tu. Kwa...
  12. Jazzie

    MAPANKI - Tamthilia Kali Inakuja!

    Hao watu tu hoii kivipi? Ningependa kusikia mtazamo wako na kile ambacho ulikitarajia...hasa ukizingatia hii ni sanaa na siyo lazima kila kitu kiwe kama cha Oysterbay/Masaki. Lete data.
  13. Jazzie

    MAPANKI - Tamthilia Kali Inakuja!

    MAPANKI, tamthilia ya kipekee inakujia hivi karibuni. Pata preview hapa : http://www.youtube.com/watch?v=Ysv6fSIhKqA Kwa habari zaidi: www. mapanki.com
Back
Top Bottom