vijana nawapongeza kwani kikubwa cha 1 walichofanya ni kubring awareness,,2.kama mbunge ni wa cdm haina tabu waendelee 3.imekuuma nini wakati hata shamba la viaz huna ambalo ungesema wameacha mbuzi wakaja kulishambulia??? 4.kwanini usiwalaani wale vijana wa ccm vyuo vikuu walokurupuka eti...
vijana nawapongeza kwani kikubwa cha 1 walichofanya ni kubring awareness,,2.kama mbunge ni wa cdm haina tabu waendelee 3.imekuuma nini wakati hata shamba la viaz huna ambalo ungesema wameacha mbuzi wakaja kulishambulia??? 4.kwanini usiwalaani wale vijana wa ccm vyuo vikuu walokurupuka eti...
mmmh huyu jamaaa hafaii hata chembe,,aliwai kuja kitaani kwetu alichokifanya alituwekea cd ya luckdube,,akakoleza na sarafina kisha watu 2kawa wapole akaanza kuhubiri na wote tulijikuta tunalia,,,,maaamaaaaa...siku hiyo ndo nlipokea uponyaji nkavaa gwanda mpaka leo,,,,LEMA HAFAI KAMA BDO...
we humjui uyu fisadi ni balaa eti,,,,ebu pita kwao ukaone,,,kajenga nyumba kawapangisha wafanyakzi wa halmashauri,,,kachukua km za hekari karbu mji mzima eti anafuga wakti hta ndugu zke hawana pakulima...sasa mtu aspjali nduguze we ulidhani atakujali wewe fkara????mimi staki ata kumzskiliza na...
kwa jina naitwa classroom teacher,mkazi wa jiji mwanza nina elimu ya juu kutoka chuo kilichojengwa na baba yangu (udom).
my dears...ninaufahamu kidogo sana na masuala ya sheria,lakini haitakua tija ya mimi kutekeleza adhma yangu.
Baba yangu alikua hakimu mkazi na kwa wadhifa...
​kwa jina naitwa classroom teacher,mkazi wa jiji mwanza nina elimu ya juu kutoka chuo kilichojengwa na baba yangu (udom).
my dears...ninaufahamu kidogo sana na masuala ya sheria,lakini haitakua tija ya mimi kutekeleza adhma yangu.
Baba yangu alikua hakimu mkazi na kwa...
nimechakachua nini??mimi nimeripoti yoote nliyoyaona lakini meengi zaidi nikayaacha....sijatia chumvi licha ya kuonesha mapenzi yangu waziwazi dhidi ya cdm...nakipenda hiki chama...cdm 4ever
najua mwandiko na mpangilio wa kazi ni mbovu but soma kwa umakini utapata concept...ni majuzi tu ndo nimenunua lap top ajili ya kuikomboa hii nchi.....so kazi inaendelea darasani na mtaani kama hivi...
Wadau wenje kaonesha njia on participatory approach in development,wananchi walikua wengi sana,nlikunwa na ile style,mlemavu mmoja kaja kwa baiskeli yake na kuku wake wa skukuu ambae aliomba pasaka ale dagaa ili watoto wetu wakae kwa madawati,,ilikua inatoa hisia za ndani,,kuku akapigwa mnada...
kaka hao star tbc hawana lolote,,mie nlikua mdau wao sana katika page yao ya tuongee asubuhi on fb,nkagundua napoteza mda kwa chombo chenye misimamo yake ya kisiasa,,ebu fikiria ni mara ngapi star tbc wamewahi kucover ipasavyo habari za mwnaume cdm??
Huko ni mbali ebu piga picha...
mimi pia ni mwalimu lakini hilo haliwezekani kwa mwalimu wa kitanzania alshaashindishwa njaa kwa mda mrefu na kwa wakati wa uchaguzi atakua analiona tonge jiraani na mdomo labda tumuongelee mwalimu kama mimi nnae jitambua....mimi niko jikoni naandaa mbinu za kuiondoa ccm madarakani kwa kufanya...
eeeh dogo unamabooooooo....nimecheke mbavu sina,,ila tumeyadundaaaaaaaa,,,,mie nko hapa mwamza tuliyadundaaaa na sisi...tuyapa vifuti,,,mangumi ya puani mpaka lisaba likazirai....cdm kuna maraaaaaaaaaaa.....mie leo stoki nje bado yanahasira hapa mwz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.