Wadau wenje kaonesha njia on participatory approach in development,wananchi walikua wengi sana,nlikunwa na ile style,mlemavu mmoja kaja kwa baiskeli yake na kuku wake wa skukuu ambae aliomba pasaka ale dagaa ili watoto wetu wakae kwa madawati,,ilikua inatoa hisia za ndani,,kuku akapigwa mnada kwa zaidi ya laki 2,,,umoja wa madreva tax wakawasilisha mchango wao,,,umoja wa machinga,,mama lishe,,na kada kadha wa kadha zilijumuika hiyo jana,
umati ulikua mkubwa sana na mgeni rasmi alikua mtoto wa raila odinga akiwa na msafara wa watu 6.nao kwa umoja wao waka tuchangi jumla ya ksh laki sita sawa na milioni 12 za kibongo....
Wenje alikuja na mkewe,mamake plus children.....mkutano ulificha hisia za kisiasa lakini baada ya kuitwa kwa wawakilishi mbalimbali kutoka ndani ya vyama na serikali bila mafanikio,,umati ukabaini kua hiyo kumbe ilikua kazi yetu wana cdm,,,nahapo ndpo salamu zetu zkaanza kuchukua nafasi moaka wageni toka kenya nao wakaiga peopleeeeeeeeeeeeesssssssss.....powerrrrrrrr
duuu ilikua raha sana,,,mwiiisho lakairo(mb wa rorya ntakae mmaliza 2015 kupitia chama makini cdm)akatuma cheki yake ikiwa na milioni 5,,,alipongezwa na umma kwa ujasiri wake,,,,
nadhani kama milioni 50 zilipatikana na kazi itaanza rasmi ambapo kwa mujibu wa mb.wenje madawati yatatengenezwa kwa kutumia nailoni,,haya manaylon tunayotupa kwani ipo kampuni inayookoa uharibifu wa mazingira kwa kukusanya naylon na kuziyeyusha na baadae kutengeneza madawati,,jana hyo hyo tulioneshwa moja la sampple ambalo lilikua imara kwani wanaume waloshiba walipanda juu yake na liliishia kubonyea tu,,,,ni imara na yanawea last 4 15 yearz....
Viva wenje 4 the plan,,,,,,lakini pia nligundua kwamba kwa mwz..ccm itaendelea kua chama cha upinzani kwa mda mrefu zaidi kama style hizi aka rafu hizi zitaendelea,,,siunajua ccm kama cdm wakileta changamoto za maendeleo wanadai tunawachezea rafu????coz huwezi waibia kura,,huwez tumia polisi,,,hzo ndo rafu zetu ...kuwapa wananchi maendeleo.....
Ni mimi a classrooom teacher,,,,i will kill ccm trough my teachings in the class
cdm 4everrrrrrrrrrrr
umati ulikua mkubwa sana na mgeni rasmi alikua mtoto wa raila odinga akiwa na msafara wa watu 6.nao kwa umoja wao waka tuchangi jumla ya ksh laki sita sawa na milioni 12 za kibongo....
Wenje alikuja na mkewe,mamake plus children.....mkutano ulificha hisia za kisiasa lakini baada ya kuitwa kwa wawakilishi mbalimbali kutoka ndani ya vyama na serikali bila mafanikio,,umati ukabaini kua hiyo kumbe ilikua kazi yetu wana cdm,,,nahapo ndpo salamu zetu zkaanza kuchukua nafasi moaka wageni toka kenya nao wakaiga peopleeeeeeeeeeeeesssssssss.....powerrrrrrrr
duuu ilikua raha sana,,,mwiiisho lakairo(mb wa rorya ntakae mmaliza 2015 kupitia chama makini cdm)akatuma cheki yake ikiwa na milioni 5,,,alipongezwa na umma kwa ujasiri wake,,,,
nadhani kama milioni 50 zilipatikana na kazi itaanza rasmi ambapo kwa mujibu wa mb.wenje madawati yatatengenezwa kwa kutumia nailoni,,haya manaylon tunayotupa kwani ipo kampuni inayookoa uharibifu wa mazingira kwa kukusanya naylon na kuziyeyusha na baadae kutengeneza madawati,,jana hyo hyo tulioneshwa moja la sampple ambalo lilikua imara kwani wanaume waloshiba walipanda juu yake na liliishia kubonyea tu,,,,ni imara na yanawea last 4 15 yearz....
Viva wenje 4 the plan,,,,,,lakini pia nligundua kwamba kwa mwz..ccm itaendelea kua chama cha upinzani kwa mda mrefu zaidi kama style hizi aka rafu hizi zitaendelea,,,siunajua ccm kama cdm wakileta changamoto za maendeleo wanadai tunawachezea rafu????coz huwezi waibia kura,,huwez tumia polisi,,,hzo ndo rafu zetu ...kuwapa wananchi maendeleo.....
Ni mimi a classrooom teacher,,,,i will kill ccm trough my teachings in the class
cdm 4everrrrrrrrrrrr