Mwenzenu nashukuru sana wanajf nimefalijika sana nimepata msaada nilohitaji kumbe hakuna haja ya msenga au dalali.Sitamwacha huyu binti niko naye tayari.Jf oyeeee.
Yeye anaona issue yangu inahusu wachumba au wasichana,halafu anachangia ya nini?Hili ni ombi kwa wasichana tena wakikristu tu.Pia halimuhusu alozodi miaka 35.Ni vema kuangalia vigezo na masharti.
Eve,unaweza kuwa ni wewe Mungu apewe sifa maana mke mwema hutoka kwake Bwana.Naona sifa angalau ya kwanza,wewe ni mkristu.Miezi miwili nadhani nitakuwa nimepata wachumba na kuchagua mmoja na huo ndo utakuwa mwisho.
Kuokoka na kumcha Mungu ni vitu viliwi Tofauti.Mtu anayemcha Mungu anawefanya mapenzi nje ya ndoa.Lakini mlokole hawezi.Kwa ombi langu hilo siwezi kuwa mlokole.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.