Habari zenu wana jamvi.
Naomba kujua dawa ya kipele fulani kigumu ambacho hakiumi ila nilikikwangua kinatoa damu mara kwa mara ingawa hakiumi kabisa.
Kipo kwenye kidole gumba cha mkono kushoto.
Kuna uwezekano mkubwa wa mtu kujua lugha kuiandika na usiwe mzuri katika kuizungumza lugha hiyo.... Kwaiyo kusoma hadi uprofesa haina maana ndio unajua kiingereza zaidi kuliko aliyeishia sekondari tu!!
Tatizo mnalinganisha vitu viwili ambavyo haviendani, Elimu na Lugha ni vitu viwili tofauti.... Mfano wafuate wachina wanaojenga SGR au flyovers, je wanajua kiingereza? Na je kutokujua kwao Kiingereza ndio kunawafanya wasijue ujenzi?
Kwaiyo una maana kujua kiingereza ndio kuwa na akili? Kwaiyo watu wa mataifa mengine wasioongea kiingereza hawana ubongo? ACHA KUWA MTUMWA WEWE, JIKUBALI UTANZANIA WAKO!!
COLLYMORE WA SAFARICOM KENYA AFARIKI DUNIA (from Mwananchi Online)
Aliyekuwa ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Safaricom nchini Kenya, Bob Collymore (61) amefariki dunia leo asubuhi, Julai Mosi, 2019.
Taarifa iliyotolewa na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Safaricom, Nicholas Nganga...
COLLYMORE WA SAFARICOM KENYA AFARIKI DUNIA (from Mwananchi Online)
Aliyekuwa ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Safaricom nchini Kenya, Bob Collymore (61) amefariki dunia leo asubuhi, Julai Mosi, 2019.
Taarifa iliyotolewa na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Safaricom, Nicholas Nganga...
Hata mm naona mwandishi hajatumia akili, anataka mtu awe hivyo hivyo miaka 10??? Mbona sisi wa kiume pia miaka 10 tunabadilika, mavitambi hadi shughuli za vitandani zinatushinda!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.