1xBet ni ya kijanja ila inazingua kwenye kusachi mechi na kuangalia history. unatumia nguvu nyingi kwelikweli kufanya hivyo vitu.
waliangalie hili suala linawapa shida wateja wake.
option za over 2.5 na GG za kisenge kweli.
ukiweka GG matokeo yanakuja 3-0, unajisemea "kumbe bora over 2.5". kesho yake ukiweka over 2.5 matokeo yanakuja 1-1. unajisemea tena "kumbe bora GG". yaani tabu tupu
nakazia:
huu uzi siku hizi watu wanauangalia juu kwa juu halafu wanapita hivi, kuwa kimya inaweza kusababishwa na:
-majukumu pamoja na sikukuu
-watu wamebadilisha style ya kuanalyse mechi ndiyo maana humu kimya
-mambo ya kitoto yamekuwa mengi humu, wenye akili zao wanapaona hapana maana
-codes...
hata hivyo uko vizuri. winning rate ya 91% =10/11 siyo mchezo.
wanaJF tuko vizuri kwenye kubet, wengi winning rates zinacheza kwenye 75% kwenda juu. mikeka kuchanika siyo kwamba ndiyo hatujui kubet, tuko vizuri
kama wewe ni mkali wa kubet, weka hapa predictions za timu 20, kila mechi odd 1.3 kwenda juu. winning rate yako ikiwa 80% kwenda juu, tutakuona mkali.
weka hapa prediction ya mechi 20 tukuone
watu mna hatari.
tip ya over 1.5 na over 2.5 zinaonekana kama simpo, lakini ngumu kishenzi. kwenye mechi 3 ni kawaida kuchana mechi moja.
mi nimeona isiwe tabu, nimeamua kuzitema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.