wanajamvi nimepata mkopo na loan batch za ifm zinasema tution fee watanilipia 700000 swali langu je mimi nitalipa 800000 iliyobaki au nitalipa kulingana na joining instruction inavyosema yaani 60% ambayo ni 900000 hapa sielewi kidogo mwenye uelewa na idea anisaidie
Haya bana tutakomaa hivyo hivyo tuu...maneno kama haya tumeshaanza ambiwa zamani sana toka tunaingia form one
lakin tukakomaa hivyo hivyo
so haisumbui sana tutabanana
kitaeleweka tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.