Sorry niltaman tu kusoma masters ya kada yangu hii hii sijahtaj kuhama career na kuhusu kusubil nafas ya uafisa elimu kata au wilaya sio Kwan hamna nafas zingne Zaid ya hyo boss
Asante sana kwa pongezi kaka
Malengo yang ni kutoka hapa nilpo kupatA nafas Zaid kwa zile kaz ambazo haziangalii GPA ya bachelor Bali zenye vgezo vya masters
Pia nataman nngesoma nje tatzo namna ya kupata scholarship zna ujuz huo
Njoo bunda Nije dodoma mjin ,chamwino au mpwapwa , dar ,kisarawe ,chalinze na bagamoyo au mkuranga ...idara sec masomo English and literature in English karibuni 0654708118
HABARI wadau KATIKA jukwaa hili adhimu, Mimi ni mwajiriwa KATIKA kada ya elimu kwa masomo ya English and literature in English na ufaulu wangu kwa chuo haukuwa mzuri sana nilipata GPA ya 2.8 lower second.
Je, naweza kujiendeleza masters KATIKA course gani ambyo itakuwa na FURSA mbalimbali zenye...
Habarini Ndg ZANGU , baada ya kuona uzi huu nmefarijika sana kwa maana hata Mimi ninashauk ya kwenda kusoma masters lkn nataman ingekua ni nje ya nchi ...ningeomba kuungana na Ndg yng hapo juu mnipatie maelekezo ya namna ya kupata ufadhil ... Mimi ni mwajiriwa serkalin kama mwl wa shule ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.