history never change but a future can be made...mwanzo tulikua hatudhan kama unasoma chuo zaid ya ud koz kilikua ndio pekee chenye ubora..mkubwa kalewa sifa kasahau majukumu ..tubadili mfumo wa mawazo kua kila kitu ud .huko ni kukariri...thnk twice
usije ukaanza kushangilia kifo cha gadafi bila kua na vielelezo ya mabaya alioyafanya..isiwe unaropoka soma kwanza vitabu na sio unakuja na micro cheep yako kwa brain....malipo duniani
dah nimejifunza kitu kwa sababu naona ndani ya suala la kibonde kumetokea suala la ualimu na upolisi...una lolote muulize roma koz alishasema n kimbilio la waliofeli....no coment hutaki kiburi ....bt ishu kubwa sasaiv hawaangalii division wanaangalia pesa tu..shule daraja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.