ukweli ni kwamba ni lazima viongozi wa bongo msome alama za nyakati,pia watofautishe ishu za wasomi na chingaz.wanacheza na madocta kama watoto wadogo wakati madocta wanawatega kwa kamba ya mgomba nao wanakamatika.ningekuwa mimi kova ningerudi studio kama alivyosema kamanda sugu au...
ukweli ni kwamba ni lazima viongozi wa bongo msome alama za nyakati,pia watofautishe ishu za wasomi na chingaz.wanacheza na madocta kama watoto wadogo wakati madocta wanawatega kwa kamba aya mgomba nao wanakamatika.ningekuwa mimi kova ningerudi studio kama alivyosema kamanda sugu au...
asante Mungu.nawashauri wanaotumwa kufanya dhambi kama hizi na nyingine kwa hao wanaojiita system wachanganye akili zao na za hao wanaowatuma.mambo ya kila kitu yes kama manunda waache.dhambi hii itawatafuna na vizazi vyao.maana mshahara wa dhambi ni mauti.
jamani tusionee hili gamba.wananchi mnaochagua gamba kama hili kulipeleka mjengoni mtatibiwa na waganga wa kienyeji mpaka mshike adabu.sina dhambi juu ya uchaguzi wa mbunge wangu cause anachapa kazi.keep it up kaka yangu mbowe.
hicho kimrija kinachokupa kiburi ndg yangu kitakatwa tu one day.acha ubinafsi ikulu kumechafuka na sababu kubwa kumekaa majitu yasiyokuwa na hofu ya Mungu.nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.