nimehangaika sana na najitahidi na vibarua vya hapa na pale mke wngu ale mwanangu avae na nauli za kila siku,ila mambo yanazidi kubadilika,maisha yamebadilika jamani..
siamini bado,maumivu niliyonayo ni mazito,
mke wangu umeniacha,kukosa kazi limekua tatizo;
nimetoka mihangaikoni narudi nakuta haupo nyumbani umeondoka na mwanangu,bado nampenda sana huyu mwanamke
ameondoka na kuniacha kwenye kipindi kigumu sana,
mwezi ujao napaswa kulipa kodi najua umekimbia...
Habari za muda huu ndugu wanajf,
mimi ni kijana mwenye familia tayari,
nimefanya kazi na kampuni moja ila ikapunguza wafanyakazi,
nina ujuzi wa kuendesha magari aina zote nina leseni daraja la 2(class C ),pia ni fundi magari,
ninahitaji msaada wenu uwe wa mawazo wa kazi au wa mkopo niweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.