Kuna jamaa eti anadai anauza fixed match anadai ana connection kutoka Sweden anakupa odds 200+ Kwa 120k
Swali, ni kweli hizi mambo ni za kweli Kuna fixed match na watu wanazipata au niupigaji kama ule ule pay after win
Dah! Nilishauriwa na rafiki yangu kununua nyavu za kuvulia samaki huku akinijaza kuwa kuna faida kubwa mno kwe shughuli za uvuvi.Lakini kabla sijanunua nikamshirikisha kaka'ngu akanikataza kuwa ile biashara mpaka uwe na uzoefu nayo na pia uwe unaenda nawe kuvua ila si kukabidhi wafanyakazi...
Kuna wimbo mmoja hv nahis utakuwa ni wa Mbilia bell una mashairi fulani hv yanasema "mabwana wengi wananitaka mi mwana masikini" naomba anaejua unaitwaje anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.