Habari wadau,
Nataka kununua hizi camera zenye muonekano wa bulb (taa) ili nizitumie kama CCTV kwaajili ya ulinzi nyumbani kwangu na eneo la biashara.
Naombeni ushauri wadau kuhusu ubora,uimara na ufanisi wake maana najua wapo watu humu mmetumia na mnazijua vizuri.Nitangulize shukurani[emoji120]
Rudisheni chenji hata kama ni 10, kiukweli nakereka sana na wahudumu wa baa wasiorudisha chenji baada ya huduma.
Tambueni kwamba pesa haigawiwi bali hutafutwa tena kwa jasho, acheni kulazimisha mtu awaachie chenji kwani mtu hutumia pesa zake kwa mahesabu.
Siyo kila mteja anababaika na nyie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.