Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

Habari za majukumu wakuuu,

Kama kichwa cha habari kinavyosema,kwanini sisi watu weusi (waafrika) imekuwa ngumu waarabu kukubali tuoe binti zao hata kama tumekidhi vigezo vya dini ya kiislam?

Imekuwa ni kawaida wao kuoa kwetu bila shida kabisa, pia ikumbukwe vitabu vya dini zote zimesisitiza upendo, kujaliana, kuthaminiana pia usawa kwa watu wote?

Imekuwa ni kawaida kabisa waafrika kuoa wazungu mfano Harmo vs Saraha, Remmy vs Mzungu, Linex vs Mzungu enzi hizo pia bila kumsahau Chindo man na Hussein machozi.

Je, suala hilo lina fungamana na imani ambayo kwa kiasi kikubwa wao hutuhubilia kila siku pia kuenezwa duniani ili tujifunze na kuifuata au nini maana ya hili?

Je ni sahihi tufuate dini na imani iliyo katika mlengo huo?

Najua hata mabeberu (wazungu) ni wa baguzi tena si wema sana ila wao sisi tuna oa ata ubaguzi wao ni mdogo kwa sasa ukilinganisha na Mwarabu.

Mwenye orodha ya weusi 10 wenye wake Waarabu tunaomba atuwekee hapa ili isionekane ni propaganda au uchafuzi wa watu fulani au dini fulani
Ngozi nyeusi ni symbol ya umaskini na mental Breakdown according to BOTHA the late S.A president
 
Sasa si uoe hao dada zako? Wewe ndio unawashobokea ndio maana unahoji kwanini hawakutaki. Kama wangekuona wa maana wangekufata tu ila huna hiyo hadhi yao acha kujipendekeza watakufanya kitu mbaya
Mbna wazungu tunamwagia ndani broo?
 
Unafikiri dini inaangalia kufanana kwenu kiimani, Dini nayo imezungumza uwezo pia wa kiuchumi, nasaba na uwezo pia wa kula hiyo kitu. Sasa wewe hilo la nasaba unalijua?
Kama kweli hilo andiko la nasaba kama lipo basi waliweka wenyewe
 
Ukiona waarabu wamekubali we mswahili uoe binti yao basi wameona una hela

Ova
 
Kuna bidada mwarabu Koko nilikuwa naye kwenye mahusiano ni mzanzibar Kuna siku alinambia kinaga ubaga kuwa anahitaji kusomwa jicho yaani 0713... nikamwambia mie situmii hiyo kitu kwanza alinishangaa na kunambia mbona ni jambo la kawaida na ni tam sana nikizoea nikamwambia hapana akaniuliza Kwa ukali kwamba Nakula au sintokula nikamwambia sijawahi na sitaki akanambia tangu sasa mahusiano yamekwisha tukaachiana hapo.
 
Kuna bidada mwarabu Koko nilikuwa naye kwenye mahusiano ni mzanzibar Kuna siku alinambia kinaga ubaga kuwa anahitaji kusomwa jicho yaani 0713... nikamwambia mie situmii hiyo kitu kwanza alinishangaa na kunambia mbona ni jambo la kawaida na ni tam sana nikizoea nikamwambia hapana akaniuliza Kwa ukali kwamba Nakula au sintokula nikamwambia sijawahi na sitaki akanambia tangu sasa mahusiano yamekwisha tukaachiana hapo.
Umezingua kinoma
 
Kuna bidada mwarabu Koko nilikuwa naye kwenye mahusiano ni mzanzibar Kuna siku alinambia kinaga ubaga kuwa anahitaji kusomwa jicho yaani 0713... nikamwambia mie situmii hiyo kitu kwanza alinishangaa na kunambia mbona ni jambo la kawaida na ni tam sana nikizoea nikamwambia hapana akaniuliza Kwa ukali kwamba Nakula au sintokula nikamwambia sijawahi na sitaki akanambia tangu sasa mahusiano yamekwisha tukaachiana hapo.
Waarabu wanafumuana sana vinyero,wasenge wa tupu
 
Kuna mzee mtu mzima mbagala kaoa mwarabu,familia ile yenye maduka ya mchele kariakoo,mzee Ana hela chafu ,binti wa kiarabu mke mdogo,

Baba mwarabu katoa laana zote,Ila mama kavuta mpunga mrefu,
 
dah kwaiyo mkuu analilia kula mbususu ya kiarabu? huogopi kuondoka na mashaitwani? kuna watu majasiri sana no wonder ndomaana wanaume tunaishi muda mfupi sana.
 
Back
Top Bottom