Jamani naombeni kujua wapi wanauza vipuri vya hizi pikipiki maana nmehangaika sana kupata hata sidecover na rims zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina Nissan Hardbody ya mwaka 1988....ilipaki toka 1996 mwaka huu 2020 nkanunua battery mpya nkafanya overhaul gari ikawaka nkashangaa sana....bado iko vzurii sana....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nina Nissan Pickup engine model TD25 ya 1988 imenunuliwa 1992 imepaki mwaka 1996 ina mileage 153000 ila nmetafuta mafundi wakafanya overhall ikawaka na sasa natumia kwa shughuli zangu za kilimo....fuel consumption ni 20km per litre kwa utafiti nliofanya wiki hii...kwa uelewa wangu gari za...
Anzisha uzi mwingine we mzee wa majungu kuchwao machweo. Kamwe huwez zuia mvua kunyesha! Najua roho zinauma sana ila ndo ivo tena saivi hakuna ukiritimba ktk elimu ya bongo kama zamani. Enzi hizo kulkuwa na ttcl na saivi kuna voda,tigo,zantel,airtel n.k na hao ttcl wako hoi bin taaban wamebaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.