Acha kupotosha watu mkuu ww huijui Zanzibar.
Ukitoa ivo viazi, vitungu maji na nyanya vitu karibia vyote Zanzibar wanaagaza nje. Zanzibar ni kawaida tu kukuta watu wanatumia vitunguu swaum ama mchele kutoka India.
Yaani Zanzibar vitu karibia vyote unavovijua ww wanaagiza nje ni asilimia...
Siku yake ya kufa ilishafika kusingekuwa na namna yoyote ile yakubailisha ilo
Na sio kila anaezama kwenye maji huzama kwa pupaa mda mwingine mtu anaweza kuzama na msiwe na habar mpk ule mda wa kutaka kuondoka ndo mnajua kuwa fulani mbona hatumuoni kumbe alishazama kitambo sana
Wewe jamaa utakuta ukishatoa hela ya kula ndio basi unashindwa ata kumhudumikia mkeo mahitaji yake kwa sabab ana vijipesa vyake
Lazima mwanamke awe mbinafs hela zake halaumiki ata kdg.
Kuna watu nawajua wameshapigan na trafic barabaran mwish wa siku wanawekwa ndan na kupelekwa mahakaman na kupigwa faini ila baada ya apo heshim inafuata mkondo wake siku nyengin ata amkute na kosa gan hamulizi kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.