nilikuwa muumini mzuri sana wa bwana sugu na sijawahi kukosa tape yake yoyote...nakumbuka wimbo wake ndani ya bongo alisema maneno haya...
maisha ni kujirusha unataka kuleta zako zipi,maisha yenyewe ni mafupi,ndani ya bongo...hii ilikuwa korasi.
kuna kipande anasema...
kwako maisha ni...
Baada ya mgomo wa kudai field na kupelekea wanafunzi wapatao mia kusimamishwa masomo,leo chuo kikuu cha dodoma college ya social sciences imefungwa rasmi till further notice.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.